![]() |
muongoza ibada DR. Marko Hingi |
![]() |
timu ya kusifu na kuabudu |
....kwaya ya Bugando pia ilihudumu ikifuatiwa na waimbaji binafsi....
![]() |
mwimbaji binafsi wa USCF |
...katibu wa USCF alitoa matangazo ya usharika...
.....wanaUSCF Bugando walipata neema ya kulishwa neno la MUNGU na mtumish wa MUNGU Mch. Raymond kutoka Redio maarufu jijini Mwanza ijulikanayo kwa jina la Kwaneema Fm....
UJUMBE: Usikubali kukata tamaa au kukatishwa tamaa ya maisha.
-Daudi alikatishwa tamaa na ndugu zake kuwa hawezi kumshinda Goliath, lakini aliweza kushinda,..
-Yusuph pia aliuzwa na ndugu zake, alitupwa gerezani kwa kesi isiyo ya kwake, lakini hakukata tamaa na mwisho alitimiza ndoto yake..
MASOMO: 1 Samwel 17, Daudi 17:17
- Mengi yalisemwa ikiwemo pamoja na kutojidharau kuona hatufai mbele za Mungu aliye juu
![]() |
Mch. Raymond akitoa huduma |
![]() |
Mch Raymond akitoa huduma |
...Mtumishi aliweka wakfu kamera mpya iliyonunuliwa kupitia mkono wa wanaUSCF kwa neema ya Mungu. kamera hiyo ni aina ya Fujifilm SL 300.....
....Shukurani na sadaka za kawaida zilifuata, wakati ibada ikipambwa moto na mwimbaji binafsi, pamoja na dada Asha (MD 5)...
....maombi ya wanaUSCF wote yakiongozwa na mratibu wa maombi yalifuata na mwisho ibada ilihairishwa kwa maombi na kwaya ya USCF wakamalizia....
TAFAKARI YA LEO: JE, WEWE UNATHAMANI GANI MBELE ZA MUNGU...?..
UJUMBE: MUNGU HAANGALII KAMA WANADAMU WAANGALIAVYO
MUNGU HUVIINUA VINYONGE NA KUVIFANYA KUWA NA NGUVU
SHUKURANI ZETU : MUNGU WETU PAMOJA NA JESHI LA MBINGUNI
MUONGOZA IBADA- MARKO HINGI (MD 5)
MUHUBIRI- MCH.RAYMOND
KWAYA YA USCF BUGANDO
WAIMBAJI BINAFSI
WAIMBAJI BINAFSI
TIMU YA KUSIFU NA KUABUDU BUGANDO
DPS 2 NA KAMATI NZIMA YA MAPAMBO
VIONGOZI WA USCF BUGANDO
WANAUSCF WOTE
UONGOZI WA CHUO NA HOSPITAL BUGANDO
WOTE WALIOHUSIKA KATIKA IBADA HIYO
NYOTE MBARIKIWE NA MUNGU ALIYE HAI
No comments:
Post a Comment