Utangulizi
•Kitu kinachoamua
kiwango
cha uhuru
kwenye maisha yako ni kiwango cha
ufahamu ulichonacho
•Kiwango cha kutokuwepo
kwa giza kinaamuliwa
na kiwango
cha uwepo wa mwanga (Mwanga
unapokuwepo
kwa wingi zaidi basi giza huwepo
kidogo zaidi)
•Uko jinsi ulivyo
kwasababu ya kiwango cha
ufahamu – Ukiongeza
ufahamu, utajiongezea
uhuru!
Maandiko:
Yohana 8:32
Mifano:
•Allegory of the Cave by Plato
•Kufikiri jambo usilolijua
Kusoma
vitabu ni moja ya njia (njia kubwa sana) ya kuongeza uhuru kwenye maisha yako
Mwanaharakati # 1. Danieli
Rejea Danieli 9:1-3 “Kwa kuvisoma vitabu” (Greek:
Biblia= books)
(Yer
25:11-12; 29:10; 30:18; 2Nyakati 36:21)
ü Alikuwa
na miaka 15 wakati wa utumwa
üAlikuwa mshauri
wa wafalme
wanne/awamu
nne
605 K.K Taifa lilichukuliwa utumwani
538 KK Ufunuo/Uamsho ndani ya moyo wa Danieli (mwaka
wa 67) na mwaka wa 68 taifa lilipokea uhuru.
▫Kimsingi, taifa lilipaswa kukaa utumwani miaka 70 = kusoma
vitabu kuliharakisha uhuru.
Utimilifu wa
harakati: Ezra 1:1-6
Mwanaharakati # 2. Musa
Rejea Kutoka 2:11-15
(Mwanzo 15:12-14)
Misimu:
▫Utumwa & Mateso:
miaka 400 ya hali ya ukiwa katika nchi ya ugeni
▫Uhuru & Mafanikio
– kipindi cha utoshelevu:
Rejea
MDO
7:22-30; Kut
12:40-41
•Utumwa
wa Israeli (Misri) ulidumu kwa
muda mrefu
kwasababu haukuwa
na hamasa
ya vitabu (was not book inspired)
Mwalimu Nyerere na Uhuru
wa Tanganyika
•Baada ya vita kuu za dunia (WW I&II),
nchi ya Ujerumani
ilipoteza
sehemu kubwa ya makoloni.
•Umoja wa mataifa uliiweka
Tanganyika mikononi mwa Uingereza
kwa uangalizi
•Tanganyika ilipaswa
kujiandaa
kujitawala
na wakati ilipokuwa
tayari
ilipaswa
kuomba
uhuru
wake
•Masharti hayo
ya Umoja wa Mataifa kwa Uingereza
yalikuwa
kwenye mfumo wa maandishi
•Ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndiye
alipata
fursa
ya kusoma na kuongoza harakati za uhuru
Hitimisho:
Msingi
wa Tanganyika umo kwenye usomaji wa
vitabu = Tanganyika ilijengwa kwa
kusoma vitabu, itatunzwa kwa
kusoma vitabu!
PASTOR; JAMES KALEKWA
No comments:
Post a Comment