ONGEZA TIJA KWA KUISHI MAISHA YANAYOONGOZWA NA KUSUDI LA MUNGU (Isaya 46:9-10; Mithali 19:21)

Seminar Outline:
¢Day 1: Dhana ya kusudi la Mungu (The concept of God’s Purpose)
¢
¢Day 2: Kutambua kusudi la Mungu kwaajili ya maisha yangu binafsi (Discerning God’s purpose over my personal life )
¢
¢Day 3: Kutoka kwenye ufahamu kuelekea kwenye matendo: Utekelezaji wa kusudi la Mungu (From knowledge to Practice: Actualization of God’s purpose )


Day 2: 
Kutambua kusudi la Mungu kwaajili ya maisha yangu binafsi
¢Kila mtu yupo duniani kwa kusudi, hakuna aliyeko kwa bahati mbaya. (Haijalishi anajua ama hajui ) “Ignorance of the purpose does not cancel it.” Myles Munroe
¢Kuna ombwe (vacuum) duniani ambalo umekuja kulijaza. Kuna uhitaji ambao ni wewe ndiye umekuja kuutimiliza.
¢Wewe si bahati mbaya, si majaribio wala si tukio lisilo kusudiwa (ajali )… Upo kwa kusudi.
Sura mbili za kusudi la Mungu
¢Kusudi la Mungu la ujumla kwa wanadamu wote (Corporate purpose )
ü Ref: Mwanzo 1:26-29; Mwanzo 2:7-8
¢Kusudi la Mungu kwa  mtu binafsi (Individual purpose )
Namna ya kujua kusudi la Mungu kwa mtu binafsi
¢Kupitia ndoto Ref: Mwanzo 37:5-7, 9-11
¢Maono
üWakati akili inafanya kazi Ref: Luka 1:30-38; Yer  1:4-9
üAkili haifanyi kazi (Trance ) Ref:
üHalf way Ref: MDO 26: 19, 15-18
¢Kupokea ufahamuRhema (neno la Mungu lililovuviwa kwa mtu binafsi) Ref: Dan 9:2
¢ Msukumo kutoka kwenye mazingira Ref: Kut 2:11-12; MDO 7:23-25
Maswali muhimu
¢Je, kuna jambo amabalo linaibukaibuka maishani mwako hata kama unajaribu kulipotezea? (It keeps on surfacing )
¢Je, kuna jamabo ambalo upo radhi kulifanya hata pasipo malipo yoyote (posho, mshahara n.k)
¢Je, kuna jamabo ambalo ukilifanya huwa unasikia ridhiko la haki ya juu sana? (Unasikia hali ya ukamilifu - satisifaction )
¢Je, kuna jambo ambalo kila ukilitazama unaona ni kama vile ni wewe peke yako unapaswa kulifanya? As if watu wengine wanaofanya wanatega
?¢Jambo gani ambalo huwa ukilifanya huwa kuna matokeo makubwa wakati umetumia uwekezaji kidogo sana (Watu wengine watadhani umetumia muda, nguvu na uwekezaji mwingi )
¢Je, kuna jambo ambalo moyo wako unawaka kulielekea? (You are passionate about it )
Tafakari Muhimu
¢Allegory ya Dr. Stephen R. Covey
¢Allegory ya msafiri
¢Legacy – alama ya miguu kwenye mchanga wa historia.
¢Historia ya marehemu
¢Yeremia20:9

Day 3: 
Kutoka kwenye ufahamu kuelekea kwenye matendo: utekelezaji wa kusudi la mungu  
¢Utafiti mdogo wa maisha ya watu hamsini wenye alama kwenye maisha
¢Kuna pattern – (mtiririko fulani unaofanana ) inafanana kwenye maisha ya watu hawa
¢The James Purpose Model
Kusudi
Maono/Dira
Utume/Dhamira
Mipango
Malengo
Mikakati
Orodha ya mambo ya siku kwa siku
1. Maono/DIRA
¢Mithali 29:18, “ Pasipo maono watu huacha kujizuia (huvuka mipaka/hukosa kuwa na adabu/ huangamia)…”
Maono ni nini?
¢ Mashindano ya kilimo kwa trekta
¢Habari ya msafiri
¢Mashindano ya mpira wa miguu pasipo miimo miwili kila upande wa uwanja (magoli)
Maono vs Matamanio
¢Manufaa- kwa mtu binafsi au kwa jamii? Mf: kununua gari, kujenga nyumba, n.k
¢Mahitaji- Je, baada ya kujitaabisha kote huko utakuwa umekidhi mahitaji ya nani?
¢Legacy – Unataka kuacha kitu gani baada ya kuwa umeondoka duniani?
¢“There are miracles in life I must achieve, but first I know it starts inside of me” Robert Kelly
Maono: Ushauri kutoka kwenye moyo wa Mungu
Habakuki 2:3, “… Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao…”
¢Maono HUANDIKWA
¢Maono huwekwa WAZI (yenye kueleweka)
¢Maono huwekwa WAZI (husomea- legible)
¢Maono ni LAZIMA yatimilike
2. UTUME/DHAMIRA

3. MIPANGO
¢Kwa muda miaka 2,3,4 hadi 5
¢MAONO ni jambo kubwa & panalinahitaji kukamilishwa hatua kwa hatua.
¢Kutoka kwenye picha kubwa (MAONO)
üKuongeza kipato kwa 35%
üKukuza uwezo wa kibiashara ya mazao yatokanayo na mifugo (ngozi, maziwa, kwato, manyoya n.k)
üKutengeneza soko-mtandao na usambazaji nchi za Afrika Mashariki
üKuongeza idadi ya watu wanaofikiwa na huduma zetu kwa 40% Kanda ya ziwa
4. malengo
¢Kila mwaka/msimu (mwaka wa fedha, mwaka wa kawaida, mwaka wa masomo)
¢Kutoka kwenye malengo makubwa
¢Gawanya mipango (split) katika shughuli za mwaka mmoja TU!

SMART
Specific – Mahususi
*Lazima ukubali hutofanya KILA KITU!
*Eneo – kijiografia, kimtandao, kisoko
*Watu waliokusudiwa/wateja/walengwa
Mfano:
 Kuchapisha na kusambaza vitabu vya hadithi za Biblia kwaajili ya watoto kwa makanisa ya kiinjili na kipentekoste mkoa wa Mwanza.

SMart
Measurable – Hali ya kupimika
*Idadi
*Hali (mabadiliko kwenye maisha)
Mfano:

 Kuchapisha na kusambaza vitabu 60,000 vya hadithi za Biblia kwaajili ya watoto kwa makanisa 175 ya kiinjili na kipentekoste mkoa wa Mwanza.
SMArt
Attainable – Je, lengo linafikika?
*Je, inawezekana kuchapisha vitabu 60,000?
*Je, inawezekana kusambaza vitabu?
*Je, kuna makanisa 175 ya kiinjili na kipentekoste mkoa wa Mwanza?
*Kuna rasilimali kuwezesha hilo (watu, nyenzo/vifaa, fedha) AU inawezekana kuzitafuta
SMARt
Realistic – Yenye kuakisi uhalisia na ukweli
*Mazingira – miundombinu, logistics, kijiografia
*Muda na majukumu
*Umahalishaji (contextualization) – lazima kuakisi mahali
*
SMART
Time bound – Ukomo wa muda
*Jambo lisilo na ukomo wa muda huwa haliishi kwasababu HALINA mwisho!
MFANO:

 Kuchapisha na kusambaza vitabu vya hadithi za Biblia kwaajili ya watoto kwa makanisa ya kiinjili na kipentekoste mkoa wa Mwanza ifikapo Desemba 2017.
5. Mikakati
¢Ni lugha yenye asili yake kwenye jeshi na uwanja wa mapigano
¢Ni mbinu, njia, namna ambazo hufanyika ili kufikia malengo (SMART)
¢Kumbuka: Mikakati ni njia tu, si mwisho (they are just means, not end in themselves)
¢Mikakati inaweza kubadilika, kuunganishwa, kuahirishwa, kuboreshwa ili kufikia lengo
6. Mambo ya siku kwa siku (To do list)
*Shughuli za utekelezaji za siku kwa siku ili kufikia mipango, malengo kisha maono!
Mfano:
*Kuandika wazo la mradi (concept note) – July 2014
Kubainisha wadau wa mradi na kuwashirikisha wazo la mradi – August – October 2014
*Kuandika andiko la mradi (project proposal/plan)- October 2014- Jan 2015
*Kuandaa mafundisho katika mfumo wa hadithi na picha Jan- October2015


BY JAMES KALEKWA

No comments: