....SHALOM ....
.......Kwaya ya USCF Bugando (Hautikisiki kwaya) wana tarajia kurekodi mkanda wa video (Video shooting) wa albamu yao inayojulikana kama, SEMA USINYAMAZE.Mkanda huo unatarajiwa kufanywa/ kurekodiwa mwezi wa tatu mwanzoni mwaka 2015.
.......Hivyo wewe kama ndugu, rafiki na mwenye mapenzi mema na Injili ya Bwana Wetu YESU KRISTO, unaombwa ushiriki wako wa hali na mali katika kutimiza jambo hili.
.......Ushiriki wako waweza kua mchango wa mawazo, kipesa, pia na maombi ili jambo hili liweze kufanikiwa na kazi ya MUNGU isonge mbele.
........Kwa ushiriki wa jambo hili tafadhari wasiliana na ; 0757 086892- Mwenyekiti USCF
au;0783329500- Mwenyekiti Kwaya
au; 0767 964 793- M/msaidizi USCF
au; 0654132009 - blog admin
.........Pia ukihitaji fomu ya kuchangia, fomu zipo na utaratibu wa kukupatia upo. Kitu cha kufanya ni mawasiliano.
........UBARIKIWE NA KAZI YA MUNGU ISONGE MBELE........
.......KAZI YA BWANA TUITENDE KWA MOYO.....2 Wakorintho 4;1, Matendo 8;21...........
No comments:
Post a Comment