IBADA YA KUSIMIKA VIONGOZI WAPYA WA UKWATA TAREHE 08/12/2013.

HALELUYA, BWANA YESU ASIFIWE.
SHUKRANI ZI MFIKIEYE MWENYEZI MUNGU NA KILA ALIYE SHIRIKI KATIKA IBADA YA KUWASIMIKA VIONGOZI WAPYA WA UKWATA BUGANDO KWA KIPINDI CHA 2014/2015, IBADA ILIFANYIKA KATIKA DARASA LA MD1 , VIONGOZI WOTE WALIOKUWA WACHAGULIWA WALISIMIKWA NA MCH.MASAGA KUTOKA AICT - NYAKATO.

NENO LA MUNGU LIKIONGOZWA NA Mch.MASAGA,  SOMA Waefeso 4:17-25 , NDIYO UJUMBE TULIYO PATA KATIKA IBADA HIYO, Viongozi wote walisisitizwa kama maandiko yanenavyo wafanye kazi kwa bidii sana na kumtanguliza Mungu kwa kila jambo na kuwa mfano na kielelezo kwa wakristo wote.

 Picha ya kwanza hapo chini. Mch.Masaga akimsimika Mwenyekiti wa mpya wa Ukwata Bugando,ndg.Amos Brighton.

Picha ya pili hapo chini .Wa kwanza kutoka kulia ni Mwenyekiti Amos Brighton, wa pili ni M/Kiti msaidizi Wokuheleza Buberwa, watatu Katibu wa ukwata Enock Sweya, wa nne Emanuel Mtaki mwakilishi MD2, wa tano Dafres Chirwa mweka hazina ukwata.                                                                                                                     

No comments: