SI BUREEEEEEEE......NI KWA NEEMA TUUUUU............

......Shalom wapendwa......
.....ni furaha kubwa kuona tunaelekea mwisho wa mwaka 2014 tukiwa wazima, na wenye afya njema,...., lakini pia tukumbuke sio wote walomaliza mwaka, zipo tabu tulizopitia, wengine wametangulia mbele za haki na wengine wapo katika hali mbaya............basi tuungane kwa pamoja kumshukuru MWENYEZI MUNGU kwa yote yaliyo tokea kwa mwaka 2014, na pia awakumbuke wengine wasio katika hali nzuri.
....Pia nipende kuwatakia safari njema  wote wanaosafiri, watakao safiri  na waliokwisha safiri kuelekea sehemu mbalimbali, BABA YETU ALIYE MWAMINIFU ASIWAPUNGUKIE KWA JAMBO LOLOTE....AMEN...

No comments: