.....SHALOM,
.....kazi yenu ni njema sana watumishi wa MUNGU, inatia moyo kuona blog hii inatembelewa na watu wengi kwa siku. Ukweli hali hii inafariji na kutia moyo sana. MBARIKIWE KWA HILO.
......ombi langu kubwa ni kuomba ushauri wenu kupitia comments au kuwasiliana na mimi moja kwa moja, mfano, je, muonekano wa blog hii kwenye simu ni mzuri, mbaya au turekebishe nini, na pia kupitia compyuta unaonekanaje.......
......je, vitu gani viongezwe au vipunguzwe au kurekebishwa na jambo lolote utakalojisikia....
.....wasiliana nami kupitia comments au no. 0654132009, au facebook (Samwel A Samwel), au whatsapp 0654132009.....
........nizidi kuwatakia maandalizi mema ya krisimas....
UJUMBE: ....'...Maandalio ya moyo Ni ya mwanadamu; Bali jawabu la ulimi hutoka kwa Bwana....
Mithali 16; 1
No comments:
Post a Comment