...HERI YA KRISIMAS....

.......maana kwa ajili yenu (yetu) mtoto amezaliwa.
tumepewa mtoto mwanamume; na uweza wa
kifalme utakuwa begani mwake; 
naye ataitwa jina lake,
mshauri wa ajabu,
Mungu mwenye nguvu,
Baba wa milele.
Mfalme wa amani.

HERI YA KRISIMAS WAPENDWA

No comments: