tarehe 22/11/2015 ilifanyika sherehe ya kuwakaribisha mwaka wa kwanza katika chuo Kikuu cha Bugando jijini Mwanza ikihusisha tawi la USCF.
Hakika watu walimuona Mungu katika sherehe hiyo, kwani mwaka wa kwanza walikaribishwa kwa namna ya tofauti sana na ilivyozoeleka.
Mchungaji James Kalekwa na walezi wa kikundi cha kikristo cha USCF nao warishirikiana na wana USCF katika sherehe hiyo.
Shukrani za pekee zimwendee Mwenyezi Mungu Baba wa milele aliyewezesha siku hiyo, walezi wa USCF, Mchungaji James Kalekwa na familia yake, Viongozi na wanachama wote wa USCF, na mwaka wa kwanza wote kwa ushiriki wenu.
baadhi ya matukio ya sherehe hiyo...
MUNGU AWABARIKI.
No comments:
Post a Comment