WORSHIP EXPLOSION LIVE CONCERT 2015- BUGANDO

""hakika ni jambo la kupendeza kukaa uweponi mwa BWANA MUNGU''''......

""uweponi mwake mimi natamani nikae daima nikitafakari Uzuri wake""......

..ndivyo ilivyokuwa katika tamasha la kusifu na kuabudu Bugando   ( Worship explosion Live Concert 2015)..


...tamasha lilifanyika siku ya Jumamosi tarehe 5 Disemba 2015 katika ukumbi wa Md 1......


... timu ya kusifu na kuabudu, kwaya, Paradise team, na waimbaji wengine wengi waliobarikiwa warishiriki tamasha hili...


............baadhi ya picha na matukio katika tamasha hilo...














HAKIKA BWANA WETU YESU KRISTO AWE NANYI WAANDAAJI WA TAMASHA HILI NA TUNATAMANI TAMASHA ZAIDI YA HILI WAKATI MWINGINE....


...baraka za Bwana zikae nanyi wote mlioshiriki kwa namna moja ama nyingine....


NB: KAMA ULIKOSA HILI!!!!!! BASI JIPANGE USIKOSE LIJALO.... 

No comments: