Ashukuriwe MUNGU wetu aliye juu aliye tuwezesha kumaliza likizo yetu tukiwa salama. Ikumbukwe wapo wenzetu waliotangulia mbele ya haki, tukimkumbuka mpendwa wetu DADA FRIDA aliyetutoka mwezi wa kumi mwaka huu...hakika tunaiombea roho yake ipumzike kwa amani pia tukiiombea faraja familia yake kwa ujumla.
Mwisho, tunaombwa katika mwaka huu wa masomo tuweke mipango yetu vyema ya kimasomo kadhalika na kihuduma. Tutembee na Mungu kila wakati na kila mahali maana tukimkaribia naye atatukaribia...tukimpenda naye antupenda zaidi.
YEREMIA 1: 8-10
TUBARIKIWE NA MUNGU ALIYE HAI
No comments:
Post a Comment