IBADA YA PAMOJA NA UZINDUZI WA ALBUM YA PILI YA KWAYA YA CCT TAREHE 16/FEBRUARI/2014.

                                  "BWANA YESU ASIFIWE SANA"
Wapendwa katika bwana kwa upole na hofu zaidi UKWATA-BUGANDO unawakaribisha wakristo wote kwenye ibada ya pamoja siku ya tarehe 16.02.2014 siku ya jumapili kuanzia saa 1:30-4:00 asubuhi katika darasa la MD1, ikifuatiwa na ibada ya uzinduzi wa album ya 2 ya audio kuanzia saa 7:00 mchana hadi saa 11:30 jioni ,uzinduzi utafanyika katika viwanja vya BMC,nyote mnakaribishwa mje mburudike na kubarikiwa kwa nyimbo nzuri sana kimwili na kiroho pia. Jina la album hiyo ni "SEMA USINYAMAZE"





                                                                            WANAKWAYA YA CCT UKWATA BUGANDO(HAUTIKISIKI)

No comments: