SHUGHULI ZA UKWATA BUGANDO ZAANZA RASMI BAADA YA MAPUMZIKO MAFUPI YA KRISMASI

HALELUYA, BWANA YESU ASIFIWE.

UKWATA BUGANDO tuna mshukuru sana Mungu kutulinda katika mapumziko mafupi ya krismasi na kuturudisha chuoni tukiwa salama na hivi tanatangaza kuanza shughuli za chama rasmi kuanzia tarehe 06/01/2014 vipindi vya katikati ya wiki asubuhi na jioni bila kusahau kwaya siku za wik end jioni. Tunaomba uungane nasi katika maombi kwa kipindi kinacho fuata chote kiwe na mafanikio katika mipango yote iliyopo ili watu wapate kumjua Mungu na kufanya mapenzi yake. Mungu akubariki kwa kuungana nasi.


Mwenyekiti wa UKWATA BUGANDO Ndg. Amos Brighton akitoa maelekezo na kufafanua matangazo mbalimbali na jinsi ya kuyakabili majukumu mbalimbali kwa mwaka 2014.

No comments: