HALELUYA , BWANA YESU ASIFIWE SANA,
Shukrani na sifa zimfikie mwenyezi Mungu na kila mkristo aliyeshiriki ibada ya kwanza ya viongozi wapya wa UKWATA - BUGANDO na ibada ilikuwa yenye kupendeza na kila mmoja alibalikiwa kimwili na kiroho.
neno la Mungu liliongozwa na Mch.Kaene kutoka kanisa la Anglikani St.Nicholaus, soma Isaya 61:10 na Isaya 62:1-10 ndiyo ujumbe wa Mungu tuliolishwa siku ya ibada hiyo.
Wana Ukwata Bugando wakiwa katika ibada hiyo.
No comments:
Post a Comment