WORSHIP EXPLOSION LIVE CONCERT 2015- BUGANDO

""hakika ni jambo la kupendeza kukaa uweponi mwa BWANA MUNGU''''......

""uweponi mwake mimi natamani nikae daima nikitafakari Uzuri wake""......

..ndivyo ilivyokuwa katika tamasha la kusifu na kuabudu Bugando   ( Worship explosion Live Concert 2015)..


...tamasha lilifanyika siku ya Jumamosi tarehe 5 Disemba 2015 katika ukumbi wa Md 1......


... timu ya kusifu na kuabudu, kwaya, Paradise team, na waimbaji wengine wengi waliobarikiwa warishiriki tamasha hili...


............baadhi ya picha na matukio katika tamasha hilo...














HAKIKA BWANA WETU YESU KRISTO AWE NANYI WAANDAAJI WA TAMASHA HILI NA TUNATAMANI TAMASHA ZAIDI YA HILI WAKATI MWINGINE....


...baraka za Bwana zikae nanyi wote mlioshiriki kwa namna moja ama nyingine....


NB: KAMA ULIKOSA HILI!!!!!! BASI JIPANGE USIKOSE LIJALO.... 

SHEREHE YA KUWAKARIBISHA MWAKA WA KWANZA BUGANDO

tarehe 22/11/2015 ilifanyika sherehe ya kuwakaribisha mwaka wa kwanza katika chuo Kikuu cha Bugando jijini Mwanza ikihusisha tawi la USCF.

Hakika watu walimuona Mungu katika sherehe hiyo, kwani mwaka wa kwanza walikaribishwa kwa namna ya tofauti sana na ilivyozoeleka.

Mchungaji James Kalekwa na walezi wa kikundi cha kikristo cha USCF nao warishirikiana na wana USCF katika sherehe hiyo.

Shukrani za pekee zimwendee Mwenyezi Mungu Baba wa milele aliyewezesha siku hiyo, walezi wa USCF, Mchungaji James Kalekwa na familia yake, Viongozi na wanachama wote wa USCF, na mwaka wa kwanza wote kwa ushiriki wenu.

baadhi ya matukio ya sherehe hiyo...












MUNGU AWABARIKI.