.....VIJANA (WANAHAUTIKISIKI ) NDANI YA AICT MAKONGORO.....

........hakika MUNGU ni mwema,...

...ilikuwa ni jumapili ya tarehe 08/ 03/2015 siku ambayo kwaya ya USCF  Bugando (HAUTIKISIKI) walipopata neema ya kuhudumu katika ibada iliyofanyika katika kanisa la AICT(AFRICA INLAND CHURCH TANZANIA)- MAKONGORO (wana kekundu)......

.....ilikuwa ni ibada ya pili ambayo ilianza saa mbili asubuhi....

....mchungaji alihubiri Neno la Mungu....
....SOMO: KUSULUBIWA KWAKE TUMEPATA KUPONA..

...UJUMBE: kanuni za MUNGU lazima ziongoze maisha yako...

...Masomo: Wagalatia 2:20,
                   1 Wakorintho 1:18
                   Waefeso 1:7
                   2 Wakorintho 5:15

......baadhi ya picha ni kama zifuatazo...
 .....mwanamama akishuhudia kazi ya madakitari....
 .....washarika wakishuhudia hali halisi.....

.......vijana kazini.....

...kwa picha zaidi tembelea ukurasa wa picha.....

No comments: